SAG Awards ( Screen Actors Guild Awards ) hufanyika kila mwaka na mwaka huu zimetimiza miaka 22 (ishirini na mbili) najua tunajua ukisikia Tuzo maana yake nini, Viwalo na kupendeza na hivi ni mwanzo wa mwaka basi kila mtu hutupia jicho lake hapo basi na hivi viwalo ndivyo vilivyo onekana mara nyingi katika tuzo hizo.
MINGARO
Tunajua usiku ndo wakati mzuri wa kuvaa zile nguo zako za kung’aa maana utawaka ukumbi mzima utaonekana wewe. walio vaa hivyo ni kutoka kushoto Julianne Moore (Givenchy Haute Couture), Alicia Vikander Louis Vuitton), Nicole Kidman Gucci) na Queen Latifah custom Michael Costello).
SHINGO NDEFU NA MIKONO MIFUPI,
Hii imekuwa Inspired na T-shirt ambapo wameileta kwenYe gauni na imependeza kiukweli vazi hili lime valiwa na Naomi Watts Burberry), Rachel McAdams ( Elie Saab) na Anna Faris (Naeem Khan).
PINK YA KUIVA
Tunajua pink ndo rangi ya mwaka na wanawake wengi hupenda rangi hii basi hawa wamethibitisha hilo kutoka kushoto Sofia Vergara (Vera Wang), Emilia Clarke (Dior Haute Couture) na Diane Guerrero.
MIPASUO MIREFU YA PEMBENI
Imeingia sana hii na tunadhani itakaa muda mrefu imeonekana kwa Angelina Jo-Leg,” ana Brie Larson (weAtelier Versace) na Laverne Cox (Atelier Prabal Gurung).
SHINGO NDEFU ZA V.
Kama unaamini una shingo nzuri na hujisikii kuvaa urembo kama cheni nakadhalika basi shingo ya V ndio chaguo lako Rooney Mara (Valentino Haute Couture), Claire Danes (Stella McCartney) na Eva Longoria.
PRINTS.
Priyanka Chopra (Monique Lhuillier), Ellie Kemper, Rachel McAdams (Elie Saab) NA Annie Pariss.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…