Queen Godwin au Enare ni m-Tanzania ambae kwa sasa ana ishi marekani, wakati yupo Tanzania alianza kama model akaja akawa mbunifu wa african accessories, lakini kwa sasa yupo marekani ame shiriki Miss USA Tanzania na ame shinda tupate kujua mawili matatu kutoka kwake
Afroswagga: Tuambie zaidi kuhusu Enare ?
Enare: Just Stylish ni clothing line/ upcoming fashion brand inayojihusisha na utengenezaji wa clothes na accessories za aina mbalimbali kwa watu wenye styles na preferences tofauti kutoka simple hadi sophisphicated. Enare is inspired with simplicity for difference, colors and beauty.
Afroswagga : ulianza kama model, designer na sasa miss nini kime kufanya uhamie huku?
Enare: .Kama msichana ninayeamini katika opportunities, talents na imani kuwa uwezo wa kufanikiwa hauna mipaka nimejitrain kuamini ma kufata kila nafasi ninayoipata ya kuonesha kile ninachoamini ninakiweza na kinaweza kunisaidia ktk kufikia malengo, niliamini ninaweza kurepresent nchi in diaspora na hii ni sababu ilipelekea kuingia ktk mashindano ya Miss Tanzania USA
Afroswagga: Experience yako katika miss tanzania usa ni ipi?
Enare: Nimeweza kujifunza tofauti iliyopo kati ya pageant na fashion industry, nimejifunza kujiamini zaidi na kuwaza mbali zaidi ya mipaka, imenipa nafasi ya kukutana na watu mbalimbali ambao wana mitazamo tofauti iliyozidi kunijenga pia imenisaidia kuitangaza brand yangu na kuzidi kufanya watu kujua kipaji changu na kazi zangu
Afroswagga: nini tofauti uliyo iona kati ya Miss Tanzania ya Tanzania na Miss USA Tanzania?
Enare: Tofauti na Miss Tanzania inayopromote sana urembo, Miss Tanzania Usa inapromote zaidi malengo ya kuisaidia jamii ya kitanzania kila mrembo unapewa nafasi ya kuonesha malengo yako na jinsi ya kuyafikisha ktk kusaidia jamii ya kitanzania na unapewa muda wa mwaka mzima uliokua nao kama mshindi kuhakikisha unafanyia kazi na kuimplement platform ulioichagua utaifanyia kazi
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 89355 more Information to that Topic: afroswagga.com/habari/mjue-enare-miss-tanzania-usa-20162017/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/mjue-enare-miss-tanzania-usa-20162017/ […]