Naomi Campbell ni moja kati ya wanamitindo wanao heshimiwa sana Duniani, kutokana na kazi yake na impact aliyoifanya katika Tasnia hii. Naomi yupo Nigeria kwa sasa kwa ajili ya Arise Fashion Week, Ni event ambayo ina shirikisha wabunifu 45 kutoka katika Nchi 14.
Akiwa Lagos Nigeria Naomi alifanya interview na kusema kwamba Gazeti kubwa la mitindo la Vogue inabidi wa launch gazeti lao na Africa pia, amesema
“There should be a Vogue Africa,” she told Reuters. We just had Vogue Arabia — it is the next progression. It has to be,” she said.Campbell was referring to the new edition of the magazine which launched in the Middle East last year. “Africa has never had the opportunity to be out there and their fabrics and their materials and their designs be accepted on the global platform… it shouldn’t be that way,” she went on.“People have come to realise it is not about the colour of your skin to define if you can do the job or not.”
kwetu sisi tunaona Yes tunahitaji Vogue Africa sikumoja, kuna Nchi Africa zinafanya vizuri katika mitindo kuanzia wasanii, models na wabunifu mbalimbali lakini Je sisi kama Tanzania ni moja kati ya Nchi za Africa tupo tayari kwa hili? Vogue likianzishwa tutakuwa able kuonekana kati ya wanaofanya vizuri?
Well with or without Naomi kusema Vogue ni wafanya biashara ofcourse kuna siku linaweza kuletwa Africa, lakini kabla halija fika tunahitaji kujiandaa unless otherwise tutaendelea kuona wenzetu wanavuka border na sisi tupo hapa hapa. Tanzania wanamitindo, wasanii na wabunifu wanaojielewa ni wachache bado tuna legalega na wengi hatupendi kuambiwa ukweli. Kwa mfano Vouge imeanzishwa Africa leo ni nani ambae unadhani anaweza kupewa kipaumbele na kuwekwa katika Gazeti hili? tuachie comment hapo chini.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/habari/mwanamitindo-wa-kimataifa-naomi-campbell-ameomba-kuwe-na-vogue-africa-edition/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/habari/mwanamitindo-wa-kimataifa-naomi-campbell-ameomba-kuwe-na-vogue-africa-edition/ […]
jazz
jazz
japanese type Beat
japanese type Beat
… [Trackback]
[…] There you can find 82533 more Info to that Topic: afroswagga.com/habari/mwanamitindo-wa-kimataifa-naomi-campbell-ameomba-kuwe-na-vogue-africa-edition/ […]