Moja kati ya material ambayo fashionista wengi hutumia katika mavazi yao ku-stand out (kuwa watofauti) ni material ya leather. Si watu wengi ambao sio fashionista’s wanamiliki mavazi ya material haya, lakini ni material ambayo ni nzuri inayokufanya uonekane wa tofauti na kama utachagua material nzuri basi inakupa rich feeling.
Well katika pitapita zetu tumegundua kwa sasa fashionistas wengi wanatumia material hii kwa lugha nyingine tunaweza kusema ina trend, from Rihanna, Vanessa Mdee, Mwamvita Makamba, Julitha Kabete na wengine wengi wakiwa ndani ya trend hii.
Tunaweza kuwaona Julitha Kabete Na Mwamvita Makamba walivyo suruali zao za leather. Badala ya kuvaa suruali za jeans au kitambaa kama ambavyo wengi tumezoea wao walichagua ku-stand out kwa kuvaa suruali za leather na kama ambavyo mnaona they look chic & stylish.
Namna nyingine ambayo ina trend sana kwa sasa ni leather skirts, kama ambavyo tunawaona Mary Claverys na Kefilwe Mabote wakiwa wamevaa za kwao, Mary yeye alichagua kuvaa Min skirt nyeusi, akamaliza na graphic tee pamoja na yellow min bag na white strap sandals. Wakati Kefilwe yeye alichagua kuwa bold kwa kuvaa red leather skirt, t shirt nyeupe, akamalizia na handbag ya kijani, metallic pumps na miwani.

Unaweza kuchagua kuvaa two pieces kama Rihanna au Vanessa Mdee na bado ikanoga, kitu ambacho tumeona wote wako nacho sawa ni kwamba wakivaa leather hawaweki mambo mengi, yaani they let the leather do the talking.


Lakini pia unaweza kuvaa kama Jumpsuit kama ambavyo Flaviana Matata Amevaa
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/namna-mbalimbali-za-kuvaa-nguo-za-leather/ […]