Tangazo batili linalo kataza baadhi ya mavazi
Website ya ukweli ya wizara ya utamaduni,sanaa na michezo
Takribani siku mbili zilizopita zilienea taarifa juu ya katazo rasmi la mavazi ya nguo fupi,surualina mavazi ya kubana ambalo ilisemekana limetolewa na wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Akiongea na Power Breakfast asubuhi ya leo, waziri mwenye dhamana ya Wizara hiyo, Mh Nape Nnauye amekanusha juu ya taarifa hiyo:
“Taarifa hizo si za ukweli, nasikitika sana watu wanatuma taarifa hiyo kwenye mitandao tofauti ya kijamii, Wizara imesikitika kwa kusambazwa kwa Taarifa hiyo ikianisha picha ya mavazi ambayo yamepigwa marufuku, naomba chombo kinachohusika kichukue hatua dhidi ya watu waliohusika na taarifa hiyo potofu ili watu wengine wajue sheria inafuata mkondo wake.” Mh. Nape Nnauye
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
canadian pharmacies https://canadianpharmaceuticalsonline.home.blog/
You suggested that adequately!
… [Trackback]
[…] Here you will find 92970 additional Information on that Topic: afroswagga.com/habari/nape-asikitishwa-na-taarifa-potofu-juu-ya-katazo-la-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/nape-asikitishwa-na-taarifa-potofu-juu-ya-katazo-la-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/habari/nape-asikitishwa-na-taarifa-potofu-juu-ya-katazo-la-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/nape-asikitishwa-na-taarifa-potofu-juu-ya-katazo-la-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/nape-asikitishwa-na-taarifa-potofu-juu-ya-katazo-la-mavazi/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 8432 more Info to that Topic: afroswagga.com/habari/nape-asikitishwa-na-taarifa-potofu-juu-ya-katazo-la-mavazi/ […]