Ni miss Tanzania mwaka 2014-2016 ambaye sasa amejikita katika utangazaji wa runinga kwenye kituo cha Runinga cha Eatv, ambapo anafanya kipindi cha Nirvana. Na kipindi hiki kinahusu maswala ya urembo na maisha kwa ujumla.
Mapema akizungumza na Afroswagga Online Magazine juu ya product mpya ya mafuta ya Aliyana ambayo yamezinduliwa hivi karibuni hapa nchini Tanzania, juu ya mtazamo na mapokeo yake ya product hii ya aliyana.
Lilian Kamazima hakusita kuiambia Afroswagga ambapo amesema “Kwakweli nimefurahishwa na hii product mpya ya nywele, Darling Group imeamua kuleta dawa ya nywele ya kihalisia ya kiafrika. Tunajua wanawake wengi wa kiafrika na wanaume wengi nywele zetu zina hali tofauti na wazungu so ni vizuri kuwa na dawa za nywele ambazo zinafaa katika nywele zetu”
story by BATRO15
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/habari/ni-vizuri-kuwa-na-dawa-zinazo-faa-kwenye-nywele-zetu-lilian-kamazima/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/ni-vizuri-kuwa-na-dawa-zinazo-faa-kwenye-nywele-zetu-lilian-kamazima/ […]