Ni miss Tanzania mwaka 2014-2016 ambaye sasa amejikita katika utangazaji wa runinga kwenye kituo cha Runinga cha Eatv, ambapo anafanya kipindi cha Nirvana. Na kipindi hiki kinahusu maswala ya urembo na maisha kwa ujumla.
Mapema akizungumza na Afroswagga Online Magazine juu ya product mpya ya mafuta ya Aliyana ambayo yamezinduliwa hivi karibuni hapa nchini Tanzania, juu ya mtazamo na mapokeo yake ya product hii ya aliyana.
Lilian Kamazima hakusita kuiambia Afroswagga ambapo amesema “Kwakweli nimefurahishwa na hii product mpya ya nywele, Darling Group imeamua kuleta dawa ya nywele ya kihalisia ya kiafrika. Tunajua wanawake wengi wa kiafrika na wanaume wengi nywele zetu zina hali tofauti na wazungu so ni vizuri kuwa na dawa za nywele ambazo zinafaa katika nywele zetu”
story by BATRO15
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…