Kylie Jenner na mpenziwe Tyga wamekuwa hawa eleweki katika mahusiano yao, miezi michache iliyo pita Tyga alisemekana ku-msaliti Kylie lakini Juzi katika kipindi cha Cocktail with Khloe ambacho ni kipindi kinacho endeshwa na dada wa Kylie, Rapper Tyga alimwambia shemejie kwamba ana mpenda mdogo wake na ana taka kumuoa.
Cha ajabu ni kwamba Kylie ame onekana kuwa na mtazamo mwingine wa maisha yake ambapo ameamua kujipenda mwenyewe kwanza kwa mwaka huu,Kylie ameandika haya katika website yake
“I feel like I’ve been in a relationship for, like, six years. I have just gone from one person to the next,” the reality star confessed on Jan. 28. “I was dating someone for, like, three years — 14, 15, 16 and a little bit of 17. Then I went into another relationship at 17, 18, and now I’m just like…I feel like I really need to find myself this year and have a relationship with myself, because I don’t know what it feels like to be by myself. I feel like you need to love yourself before you can love anybody else.”
Swali ni je wameachana au nini kina endelea?
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/habari/nini-kinaendelea-kati-ya-kylie-na-tyga/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 42081 more Information on that Topic: afroswagga.com/habari/nini-kinaendelea-kati-ya-kylie-na-tyga/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/habari/nini-kinaendelea-kati-ya-kylie-na-tyga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/nini-kinaendelea-kati-ya-kylie-na-tyga/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/nini-kinaendelea-kati-ya-kylie-na-tyga/ […]