Kila mwisho wa mwaka kampuni ya Pantone inayodeal na global color trends yaani imejikita katika utafiti wa rangi katika tasnia ya fashion hutoa rangi ambayo ndio huitwa rangi ya mwaka.

Mwaka huu pantone wametaja rangi mbili kuwa rangi za mwaka 2021 ambapo rangi hizo ni PANTONE 17-5104 Ultimate Gray + PANTONE 13-0647 Illuminating Yellow, Yaani rangi ya kijivu na ya njano, Kwa mujibu wa pantone,
17-5104 Ultimate Gray ni rangi ya ndoa ambayo inayowasilisha ujumbe wa nguvu na matumaini ambayo ni ya kudumu na yenye kuinua.
Wakati PANTONE 13-0647 Illuminating Yellow imetajwa kuwa rangi yenye kufurahisha yenye kung’aa na vivacity, warming yellow shade imbued with solar power.
Tukinukuu kutoka katika post ya Pantone Instagram wamemalizia kwa kusema “These two independent colors that come together to create an aspirational color pairing, conjoining deeper feelings of thoughtfulness with the optimistic promise of a sunshine filled day”
Namna mbalimbali za ambavyo unaweza kutumia rangi hizi mbili pamoja kwenye mavazi
Decoration nyumbani

well mates tuambie ni rangi gani utaitumia katika ya hizi mbili
Related posts
HOT TOPICS
Italy Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowWhat We Loved Kutoka Katika #MissTz2022 Stage Presence On A Hundred, Walijiamini And They Had Fun
FollowWhat We Loved Kutoka Katika #MissTz2022 The Contestant Walijiandaa| Hair, Makeup, Shoes & Dresses ❤️
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…