SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

PANYA ASABABISHA KAMPUNI YA ZARA KUSHTAKIWA
TURIN, ITALY - JUNE 3, 2015: Zara shop in Turin, Italy, Australia. It is a company dedicated to the manufacturing of home textiles and was founded at 2003.
Habari

PANYA ASABABISHA KAMPUNI YA ZARA KUSHTAKIWA 

Kampuni kubwa ya mavazi duniani iitwayo Zara ime shitakiwa na mwanamama mmoja baada ya kukuta panya alie kufa kashonewa katika nguo yake,

Cailey Fiesel alinunua magauni mawili kutoka katika duka la Spanish clothier’s Greenwich, Conn. store na kuyaning’iniza katika kabati baada ya kununua

 

Fiesel, 24,alivaa gauni lake jeusi mara ya kwanza na kwenda nalo kazini, hapo ndipo alipo anza kuhisi kuna kitu kina msumbua alipo tazama akakutana Na mguu wa panya aliye kufa katika gauni lake, mwenyewe anavyo sema ilibidi aende hospital aka check kama haja ambukizwa ugonjwa utokanao na wadudu walio kufa.

article-zara-1114

kwa upande wa Zara wana sema wana endelea kulifanyia ucunguzi swala hili “Zara USA has stringent health and safety standards, and we are committed to ensuring that all of our products meet these rigorous requirements,” a Zara spokesman also said.

I can imagine how shocked she was kama ni kweli. Well tujifunze kukagua vitu pale tunapo vinunua kabla ya kuvifikisha nyumbani.

Related posts