American Rapper,singer, song writer Pharell Williams amekuwa a fan wa brand ya mavazi Channel kwa muda sasa akiwa ana vaa cheni kutoka kwao lakini pia ame wahi kuonekana katika run way’s za Chanel huko Paris,
Na hivi karibui Channel wame mtangaza Pharell kuwa mwanaume wa kwanza kutokea katika campaign ya handbag za channel “It’s crazy,” Pharrell explained about starring in the campaign. “Who knew if you just follow what it is that you’re curious about, it may make sense for you one day – and in a major, major way. I just never dreamt that I would ever be considered in this way, and given all these opportunities.”
Campaign hii itakuwa debuted April 3 ikiwa feature watu maarufu kama Kristen Stewart, Cara Delevigne, Caroline de Maigret na Pharell mwenyewe
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/pharell-williams-mwanaume-wa-kwanza-katika-channel-handbag-campaign/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 88883 more Information on that Topic: afroswagga.com/habari/pharell-williams-mwanaume-wa-kwanza-katika-channel-handbag-campaign/ […]