Black Chyna ni mwanamitindo, video vixen ambae pia ni mfanya biashara mwenye kampuni yake inayo uza kope za bandia, Black Chyna alisha wahi kuingia kwenye ugomvi na familia ya Kardashian kisa Tyga ambae ni baba watoto wa Black Chyna aliye msaliti kwa kutembea na Kylie Jenner. Cha kushangaza au kushtua ni pale mwanamitindo huyu alipo post picha akiwa na mwanaume kitandani amemkumbatia, mkono wa mwanaume ambao una semekana kuwa ni wa Robert Kardashian kaka wa Kylie mmmh…. Kunanini kinaendelea?
Robert Kardashian ambae si mtu wa kupost sana kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii nae ame mpost Chyna je ni kweli ni wapenzi na kama ni kweli je mwanamitindo huyu ana lipiza kisasi?
Kila lenye mwanzo huwa halikosi kuwa na mwisho kama wawili hawa ni wapenzi basi itajulikana kwani waswahili husema Penzi kikohozi kulificha huwezi na hata hivyo pia huwezi kuficha pembe la ng’ombe.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/rob-kardashian-na-black-chyna-kunani/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 35506 more Info on that Topic: afroswagga.com/habari/rob-kardashian-na-black-chyna-kunani/ […]