Usiku wa Dec 5, 2020 Tanzania ilifanikiwa kupata mlimbwende mpya ambae ataenda kutuwakilisha katika shindano la Miss World. Aliyekuwa mshiriki wa miss Tanzania, akiwakilisha Kanda ya Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Rose Manfere (21) amefanikiwa kutwaa taji la miss Tanzania.

Rose ni mwanamitindo lakini pia ni mwanafunzi anaye somea information system management, aliwapita wenzie 19 ambao walikuwa wakishiriki shindano hilo.

Rose amezawadiwa gari aina ya Toyota Subaru Impreza toleo la Mwaka 2011 lenye thamani ya Sh13 milioni. Nafasi ya pili imenyakuliwa na mrembo Juliana Rwehimiza ambae yeye amenyakua zawadi ya kiwanja na nafasi ya tatu akiibeba Prisca lyimo ambae amepata zawadi ya amenyakua zawadi ya seti ya sofa na meza ndogo ya sebuleni
Rose anatarajia kuliwakilisha Taifa katika mashindano ya miss world, mwakani.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/rose-manfere-miss-tanzania-2020/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/rose-manfere-miss-tanzania-2020/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/rose-manfere-miss-tanzania-2020/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 39151 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/rose-manfere-miss-tanzania-2020/ […]