Kuna haya maswala mawili ambayo kwenye mitandao ya kijamii yamekuwa wakiongelewa sana kuhusu wabunifu wa hapa Nchini kwetu Tanzania, Ukiachana na watu kuliongelea hili swala hata sisi ma fashion blogger tulilona tukaliongelea lakini lawama zimekuwa kwa wabunifu na wao hawakupata au kupewa nafasi ya kujitetea na kujielezea upande wao,sisi Afroswagga tuliliona hili na kuamua kuwatafuta wabunifu kadhaa ili waweze kujibu shtuma au malalamiko haya na haya ni majibu yao kutoka kwa Samuel Zebedayo
Afroswagga: Samuel kume kuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kwamba kwa sasa Tanzania hamna wabunifu kuna mafundi cherehani lakini pia ina semekana kwamba wabunifu mna igiziana sana kaze zenu je ni kweli? na kama mbunifu hii ina kuathiri vipi
Samuel : Kwanza Ubunifu ni wigo mpana sana,Unaweza kuwa mbunifu, bila kujua kutumia cherahani ila huwezi kuwa fundi cherahani bill kuwa na ujuzi wa kutumia cherahani… Kitendo cha kusema hakuna wabunifu ni kejeli ya hali ya juu sana so naona kama ni ngumu kumuelewesha mtu asiyeelewa
Ila kwa ufupi tu, ni kwamba, kutokana na kukua kwa technolojia, dunia imekuwa kama kijiji so inakuwa vigumu sana kutambua mmiliki halali wa mtindo fulani… ila kusema ukweli, tanzania tuna wabunifu wengi na wazuri na mafundi cherahani walikuwepo tangu enzi…
2. Kuhusu kuigana kazi, sanaa ya mitindo ni lugha maalum kwa watu maalum… kuna vitu vinaitwa fashion trends ambazo huwa kama guidelines… so mitindo kufanana inatokea tu coz we mostly focus on what’s trending. Kitendo cha kusema wabunifu wanaigana ni opinion tu ya watu and we all know opinions are the lowest form of human understanding… so that’s it.
Majibu sasa tunayo na asante Samuel kwa kuchukua muda wako ku clarify hili swala
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/sam-zebedayo-ni-kweli-hakuna-wabunifu-kuna-mafundi-cherehani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/sam-zebedayo-ni-kweli-hakuna-wabunifu-kuna-mafundi-cherehani/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/sam-zebedayo-ni-kweli-hakuna-wabunifu-kuna-mafundi-cherehani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/sam-zebedayo-ni-kweli-hakuna-wabunifu-kuna-mafundi-cherehani/ […]