Jana katika ukurasa wa mtandao wa kijamii Instagram page ya cloudsfmtz iliandika shilole atumia milioni 12 kwa ajili ya mavazi tu katika show ya fiesta na mwenyewe akadadavua kuhusu kauli yake hio
#UpDates Shilole atumia Mill. 12 kwa ajili ya mavazi tu ya shoo kubwa ya #Fiesta2016 #Shilole ‘’Unajua huu ni mwaka wa tatu napafomu Fiesta naangalia tu kila mkoa natakiwa kuvaa kitu gani nilikuwa nafikiria cha kuvaa #FiestaTabora ukizingatia ndio nyumbani kwetu lazima nitoke kitofauti, ninaye ‘designer’ wangu ‘specially’ Martin Kadinda, lakini pia huwa namwangalia sana msanii wa Kimataifa wa nchini Marekani, Nick Minaj anachovaa jukwaani namkopi,hadi sasa nimetumia mill. 12 kwa ajili ya mavazi tu hii ni maalum kwa #Fiesta2016 , ukija kwenye nywele Mill. 1, viatu laki 5’’. #Fiesta2016 SHILOLE
Na haya ni baadhi ya mavazi aliyo panda nayo katika show hizo za fiesta kwa mahesabu yako ya haraka haraka je ina fika kiasi hiko au mmmh
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…