Ana miaka 23 ni mwanafunzi lakini pia alikuwa na malengo ya kusomea medicine na kuwa daktari, lakini tarehe 14/12/2019, Toni-Ann Singh alifanikiwa kutwaa taji la Miss World 2019.

Toni-Ann aliweza kuvutia majaji kwa uwezo wake wa kuimba, ambapo aliimba wimbo wa Whitney Huston “I Have Nothing” lakini si hilo tu ni pamoja na uwezo wake wa kujibu maswali aliyoulizwa
Toni-Ann ni m-Jamaica wa nne kushinda Miss World toka shindano hili limeanza ikiwa sasa shindano hili lina miaka 69 tangia kuanza kwake.
Mashindano hayo yalishirikisha Nchi Mia moja kumi na moja huku yakiisha kwa washindi watatu wakiwa ni
•MissWorld2019 @toniannsingh kutoka Jamaica
• 1st runner-up ni @ophelymezinooff kutoka France
• 2nd runner-up ni @sumanratanrao Kutoka India

Kwa upande wa Africa, Nigeria, Kenya na Uganda walifanikiwa kuingia Top 40, wakati Ugada akiishia kwenye Top 40, Kenya alifanikiwa kuingia Top 12 wakati Nigeria alifika mpaka top 5

Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/habari/toni-ann-singh-kutoka-jamaica-atwaa-taji-la-miss-world-2019/ […]