Hata miezi haijapita toka wabuni rompers kwa ajili ya wanaume sasa mbunifu Thom Browne amekuja na collection yake inayoitwa Gender Neutral Spring/ Summer 2018 (yaani ni kwamba hizi nguo zinaweza kuvaliwa na jinsia zote ya kike na kiume) , katika hii collection wanaume wamevalishwa dress shirts, tunics, maxi dresses na skirts zikiwa zime maliziwa na pointed heels ambazo ukiziangalia muonekano wake wa mbele ni kama kiatu cha mwanaume.
Kuvaa nguo za kike sio concept mpya kwa wenzetu wa western lakini kupanda nayo jukwaani na collection kuitwa neutral ni kitu kipya kwetu kwamba mwanamke na mwanaume wote wanaweza kuvaa kweli “haki sawa kwa wote”. Tunataka kujua maoni yako je hii iko sawa au tunavuka mipaka?
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 52249 more Information to that Topic: afroswagga.com/habari/wabunifu-na-tamaa-ya-kuwavalisha-wanaume-nguo-za-kike/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/wabunifu-na-tamaa-ya-kuwavalisha-wanaume-nguo-za-kike/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/habari/wabunifu-na-tamaa-ya-kuwavalisha-wanaume-nguo-za-kike/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/habari/wabunifu-na-tamaa-ya-kuwavalisha-wanaume-nguo-za-kike/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/wabunifu-na-tamaa-ya-kuwavalisha-wanaume-nguo-za-kike/ […]