Jana Wema Sepetu Miss Tanzania 2006 katika account yake ya Instagram aliandika “Imekua ndoto yangu ya muda mrefu, kutumia fursa ya kipekee niliyonayo, kufanya jambo la kimaendeleo. Nina kila sababu ya kuwashukuru wote mliokua mnaniombea mema, kwasababu kwa maombi yenu hatimaye nimefika hatua ya kujishugulisha kibiashara.
Bila shaka ushasikia maneno ENDLESS PERFECTION.
Hilo ni jina la duka langu la vipodozi litakalofunguliwa kwa mara ya kwanza, leo tarehe 3 October, kuanzia saa nane mchana. Duka lipo karibu na ofisi za TRA Mwenge, opposite na magorofa ya jeshi. Namba za dukani ukihitaji muongozo zaidi ni 0759-215-533 au 0675-887-751.
ENDLESS PERFECTION ndio sehemu pekee mjini ya kujipatia PERFUME, SPRAYS na BODY SPLASH za ukweli. Kila kitu ORIGINAL na kwa bei nzuri zinazoendana na UBORA wa vitu vya UHAKIKA utakavyovipata dukani.
Napenda kuchukua fursa hii kumshukuru kaka angu @mrproblemsolved pamoja na team nzima ya PROBLEM SOLVED LTD kwa kazi kubwa waliofanya kuandaa duka langu, na kwa kazi kubwa watakayofanya kulisimamia katika kila kitengo.
Mzigo wa kuanzia upo dukani, kwahiyo wahi kesho upate perfume nzuri, alafu kaa mkao wa kula maana vitu vikubwa zaidi viko njiani.
Kwa wale wapenzi wa manukato hapo ndio pa kwenda kashatoa location na namba za simu, Hongera Wema na karibu katika ulimwengu wa ujasiriamali
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-endless-perfection/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 26771 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-endless-perfection/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-endless-perfection/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-endless-perfection/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 58572 more Info to that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-endless-perfection/ […]