Ni Libra season na sote tunajua watu wengi maarufu wamezaliwa mwezi huu, well week iliyopita tumeona birthday za watu maarufu watatu kutoka Tanzania, Kenya Na Uganda. Ambapo kwa Tanzania tunae Wema Sepetu, Kenya ni Vera Sidika na Uganda ni Zarina Hassan ( Zari The Boss Lady).
Kama kawaida ya watu maarufu huwa wanafanya birthday photoshoot ambapo picha hizo ndizo hutumika kuwatakia heri katika siku yao hio ya kuzaliwa, tuanze na Zari The Boss Lady
Zari gave us two photos ambapo ya kwanza alikuwa in bath robe, hii style inaonekana ku-trend sana ya watu kupiga photoshoot wakiwa wamevaa bathrobes, her makeup was done nicely & She gave us a smile

Ya pili akiwa amevalia white dress kutoka kwa mbunifu drb_thefashiondoctor, well ni simple dress tunaweza kusema tumemuona Zari kwenye aina hii ya dress almost our entire life, nywele akiwa ameziachia (typically Zari), something about the hair hatujapenda kwenye kuwa installed, namna ambavyo wamezibond mbele inaonekana too fake, her makeup is always on point.

Muigizaji kutoka Tanzania yeye aliamua kum-channel mwanadada Kim Kardashian kwenye hii photoshoot yake, tunachoweza kusema ni kwamba tumejaribu, hii ni mara ya kwanza next time au mtu mwingine akija kujaribu tena may be anaweza kupatia, nywele hazikukaa vyema, the tattoos made it worse, makeup haikuwa vile ambavyo huwa tunamjua Wema Sepetu, we have seen her in better makeups kuliko hii.

Na Lavie Makeup alishafanyia recreation ya makeup ya hii kutoka kwa Kim Kardashian tunadhani kama Wema angeenda kwake kwa sababu alishafanya basi tungepata kitu kizuri

Kutoka Kenya, mwanadada Vera Sidika yeye ametoa photoshoot yake yeye alikuwa in red dress, red buttom pumps amemaliza na makeup nzuri, sleek hair, sote tunajua Vera is all about the sexiness & she gave us that, tunaweza kusema this photoshoot was our favorite of them all.

well afromates photoshoot ipi umeipenda zaidi?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 33826 additional Information on that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-zari-the-boss-lady-vera-sidika-birthday-photo-shoots-review/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/habari/wema-sepetu-zari-the-boss-lady-vera-sidika-birthday-photo-shoots-review/ […]