SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

WIZ KHALIFA AJA NA BASH CLOTHING LINE
Habari

WIZ KHALIFA AJA NA BASH CLOTHING LINE 

Rapper Wiz Khalifa, 29 ame amua kuja na collection ya nguo kwa ajili ya watoto ambayo ame ipa jina la mwanae BASH CLOTHING LINE. Sebastian Bash ni mtoto wa Rapper Wiz Khalifa na Mwanamitindo Amber Rose,

Wiz Khalifa ame team up na wabunifu kutoka L.A Junk Food Clothing ku Launch Collection Hio Ya Baba na mtoto ambayo imekuwa inspired na vitu anavyo vipenda mwanae sebastian

wiz-kids-3

Wiz akiongea na gazeti la People alisema “All the designs are based around Sebastian — all of his hobbies and the things that he’s into. I just really wanted it to feel personal to him, so when he sees it, he gets excited,” Khalifa, 29, tells PEOPLE. “He’s 3 years old, so he might not understand the concept of having his own clothing line. But the fact that all of his favorite things are all over his clothes, it makes him feel special; it makes him entertained by what he’s wearing.”

wiz-kids-5

Collection hio itakua na inauzwa kuanzia  $35 to $50 for kids and $45 to $80 for men’s (aside from the bomber jackets, which will be available for $150 and $250, respectively), the BASH By Junk Food capsule collection will launch October 15 and will be available for purchase in the store’s Venice, California, flagship and online at JunkFoodClothing.com.

wiz-kids-2

Related posts