Rapper na Designer Kanye West jana ameintroduce collection yake ya Yeezy Season 4 ambapo kwa kuingalia kidogo ina ahueni si sawa na zilizopita, season hii wame fanya pamoja na Adidas, Ina boots, sandals na raba pia kwa nguo kuna Short dresses na nguo za kuogelea.



Japo kuwa na sifa zote hizo bado kumeonekana kuwa na tatizo hasa katika viatu ikiwa baadhi ya ma models walishindwa kuvitembelea na wengine kuamua kuvivua kwa kuona vina wasumbua.
Pia baadhi ya models walizimia kutokana na kukaa sana juani na kukosa maji, haya ni maoni ya baadhi ya watu kuhusiana na show hio ya Kanye.

Unaweza kutufollow kwenye social media page zetu.
Instagram: @AfroSwagga
Twitter: @AfroSwaggaTz
Facebook: AfroSwaggaMag
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…