“Zawadi Ni Zawadi” Miss Mbeya 2019 Kupewa Zawadi Ya Pikipiki, wengi wakiwa wameshangazwa na kitendo hiki, ikiwa tumezoea kuona ma’miss wanapewa zawadi kama magari, pesa taslim nakadhalika, Mbeya mwaka huu wameamua kutoa pikipiki.
Sisi kwetu tunasema zawadi ni zawadi, anaweza kuhsindwa kukitumia yeye kama yeye (yaani miss aendeshe pikipiki yake) lakini kinaweza kumuingizia kipato kama ataajiri mtu na kuwa anaendesha kumuingizia pesa. Tunaweza kusema tuanze kujiandaa kisaikolojia kwa maana ndio kwanza michakato ya kutafuta Miss Mikoani, bado tuna safari ndefu ya kushuhudia mengi zaidi ya hili, na hivyo ndivyo moja ya vivutio vinavyofanya tuendelee kufuatilia shindano hili.
Miss mbeya 2019 ni Angelic (mwaka jana alishiriki miss mbeya na aliishia top 10)
1st runner up ni Nelly (mwaka jana alikuwa miss Mbeya no 1
2nd runner up ni Evengelina peter (mwaka jana alifanikiwa kuingia top 5 ya Miss mbeya)
Tuambie wewe unalionaje swala la Miss Mbeya Kupewa zawadi ya pikipiki?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 60756 additional Info to that Topic: afroswagga.com/habari/zawadi-ni-zawadi-miss-mbeya-2019-kupewa-zawadi-ya-pikipiki/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/zawadi-ni-zawadi-miss-mbeya-2019-kupewa-zawadi-ya-pikipiki/ […]