Jokate Mwegelo ambae ni mwanamuziki, Mwanamitindo, Miss Tanzania namba 2 (2006), na pia ni mjasiriamali ambae ana miliki kampuni ya Kidoti inayo husiana na mambo ya urembo hasa upande wa kina mama, Jana kupitia Account yake ya Instagram ametoa angalizo kwa wateja wake wa kidoti kuhusu bidhaa feki zilizopo mtaani na endapo mtu atatumia bidhaa hizo na kuathirika kampuni yake haitohusika. Jokate aliandika
TANGAZO MAALUMU KWA WATEJA WOTE WA BIDHAA BORA ZA UREMBO ZA KIDOTI!!!
Hizi kwenye picha ni bidhaa feki za kidoti. kwa yoyote atakayetumia bidhaa hizi na akaathirika kutokana na kukosekana kwa ubora kampuni ya kidoti haito usika na malalamiko yoyote yale
Asanteni.
Na kama haitoshi alionyesha muonekano mpya wa nywele za Kidoti ambavyo una fungwa na pia kulitolea maelezo kama ifuatavyo
Tunashukuru Kwa Support Yenu. Kwa Taarifa Fupi Tu. Packages Zetu Mpya Muonekano Wake Ni Kama Huu Hapa. Mabadiliko Makubwa Ni Kuwepo Kwa Kifungo Cha Kufungia Kila Package Kumpa Urahisi Mteja Kuweza Kufungua Na Kufunga Kifurushi Bila Kuharibu Design Ya Package Na Pia Kuweza Kushika Nywele Wakati Wa Kufanya Maamuzi Ya kununua Kuangalia Texture Ya Nywele. Tuna Staili Nyingi Za Nywele Zenye Package Tofauti Tofauti Kulingana Na Design Ya Nywele. Tunawakaribisha Kufuata Ukurasa Wetu Wa @official_kidoti @official_kidoti Na Kujionea Bidhaa Zetu Zote “Original” Na Kamwe Usikubali Kuuziwa Bidhaa Feki Ambayo Haizingatii Viwango Vyetu Vya Ubora Wa Sasa Ambao Tumejiwekea Sokoni. Nunua Kidoti ™. Uswngwile #Kidoti
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/hair/jokate-atoa-angalizo-kwa-wateja-wa-kidoti/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/hair/jokate-atoa-angalizo-kwa-wateja-wa-kidoti/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/hair/jokate-atoa-angalizo-kwa-wateja-wa-kidoti/ […]