SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Namna Ya Kuandaa Rasta Zako Kabla Ya Kuzisukia
Hair

Namna Ya Kuandaa Rasta Zako Kabla Ya Kuzisukia 

Asilimia kubwa ya wanawake kwa wanaume kwa sasa wanasukia rasta, ni namna moja ya ku-protect nywele zako asilia lakini pia kuonekana mtanashati. Lakini mara nyingi baada ya kusikia rasta tunapatwa miwasho, hii ni kutokana na kemikali zilizopo katika rasta hizo tulizosukia. Lakini unaweza kuepukana na hali hii endapo tu utaziandaa kwa kuziosha rasta zako kabla ya kuzisukia.

Uwe na nini ili kusafisha rasta zako?

  • Apple Cider Vinegar
  • Maji Ya Moto
  • Bakuli / Beseni Kubwa

Namna Ya Kuzisafisha

  • Unatakiwa kuchanganya apple cider vinega na maji yako ya moto katika bakuli au beseni lako, kama ukiweka kifuniko kimoja cha apple cider basi utatakiwa kuweka vikombe vitatu vya maji ya moto hakikisha unaweka maji ya kutosha ili rasta zako kuweza kulowekeka vyema.
  • Ziloweke kwa dakika kumi na tano (15), usitoe rubber band wala usijaribu kuzichana ziingize kwenye maji kama zilivyo ili usiziharibu ukashindwa kuzisukia, baada ya dakika kadhaa utaona vitu vyeupe juu ya maji vikielea, hio ndio kemikali inatoka.
  • Baada ya dakika kumi na tano toa rasta zako na zikaushe kwa hewa ( airdry) usijali kuhusu harufu itaisha pale rasta zitakapo kauka vyema, lakini pia hakikisha zimekauka vyema kabla ya kuzisukia.
  • Baada ya hapo unaweza kuzisukia kama kawaida.

Related posts

3 Comments

  1. Gelato 1g Disposable Vape

    … [Trackback]

    […] Information on that Topic: afroswagga.com/hair/namna-ya-kuandaa-rasta-zako-kabla-ya-kuzisukia/ […]

  2. buy psilocybin mushrooms in denver​

    … [Trackback]

    […] Find More here on that Topic: afroswagga.com/hair/namna-ya-kuandaa-rasta-zako-kabla-ya-kuzisukia/ […]

  3. 토렌트 다운

    … [Trackback]

    […] Find More on that Topic: afroswagga.com/hair/namna-ya-kuandaa-rasta-zako-kabla-ya-kuzisukia/ […]

Comments are closed.