Viatu ni moja ya urembo ambao kila mwanamke ana upenda, iwe kirefu,kifupi,cha kufunika au hata mguu wazi ali mradi ni kiatu na ni kizuri basi mwanamke atakipenda.
Je wanawake wapo tayari kwenda umbali gani katika mapenzi yao na viatu? ni ngumu kumuuliza mmoja mmoja au kupata maoni ya kila mmoja wao lakini ni rahisi kwa kuangalia wanawake walio maarufu wanao penda viatu vizuri na ukajua ni kiasi gani wana wake wana penda viatu.
Leo yupo Elizabeth Michael, Agness Masogange Na Linah Sanga
Hiki kiatu kilicho valiwa na Elizabeth Michael kilituvutia na ikabidi tukiangalie online kinauzwa kiasi gani, kinauzwa USD 39.99 sawa na Tzs 87178.20 za kiTanzania
Hiko kiatu kilicho valiwa na Linah Sanga nacho kilituvutia kinauzwa USD 27.99 online sawa na Tzs 61018.20 za Kitanzania
Hicho kiatu alicho vaa Agness kinauzwa USD 75 online sawa na TZs 163500 za kiTanzania
Kwa kuangalia tu hizo bei za viatu inaonyesha jinsi gani wanawake wanapenda viatu kwa sababu kama kitu hukipendi huwezi kukinunua kwa bei ya juu hivyo
NB: bei inaweza kubadilika kutokana na duka/mahala ulipo angalia
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/how-you-do/watu-maarufu-na-mapenzi-yao-kwa-viatu/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 85511 more Info to that Topic: afroswagga.com/how-you-do/watu-maarufu-na-mapenzi-yao-kwa-viatu/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/how-you-do/watu-maarufu-na-mapenzi-yao-kwa-viatu/ […]