Christmas season ni season ya kutoa na kupokea, tunapo sema zawadi for her, tuna maanisha mtu yoyote mwenye jinsia ya kike awe mama,dada,shangazi, rafiki yako wa kike au hata mpenzio. Kama bado huja mnunulia zawadi na una tamani lakini huna idea ya umnunulie nini au hujui kabisa nini kitamfaa, hizi ni idea ambazo zina weza kukusaidia. Msichana yoyote ukimpa kati ya hivi ata furahi
Manyatta ni accessories designer kutoka Tanzania wana tengeneza urembo mzuri na kwa sasa wana sale kubwa kwa ajili ya Christmas, unaweza kutembelea page yao ukachagua kipi kitamfaa mpendwa wako kama ni hereni,mikufu,bangili etc. bonyeza hapa kuona
Beauty Camera, kwa wakati wa sasa kila mtu ana taka kupiga picha nzuri, video nzuri una weza kumnunulia cheap quality camera.
Wadada wa sasa wana penda urembo una weza kutafuta Lipstick nzuri uka mnunulia
A must have handbag kama ni mama au dada hii itamfaa
makeup brush & makeup Brush Bag
Perfume, Hakuna mwanamke asiye penda kunukia na hakuna such a thing kama ana perfume nyingi
Pasi ya kunyooshea nywele
Mito
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…