Addiction mpya tuliyo nayo kwa sasa ni open door closet, wa Africa wengi nyumba zetu zina yale makabati yenye milango si mbaya hasa pale unapo kuwa huja panga nguo ni namna nzuri ya kuficha aibu yako, lakini open closet ni nzuri kwanza ina chukua nafaso ndogo ndani yani ile nafasi inayo chukuliwa na kabati kubwa ina kua ime pungua.
Lakini pia ina kupa motisha ya wewe kupanga vitu vyako vizuri kabisa kama kupiga pasi kabisa, kupanga kwa rangi ili upate muonekano mzuri
lakini pia kama una taka kuficha kabati lako una weza kuongezea pazia ika saidia kuficha vilivyomo ndani na kupunguza vumbi
kama una chumba kimoja hii ni best choice yako kuliko kuweka kabati kubwa litakalo maliza nafasi open closet ni best choice.
Je ume penda? tuambie kupitia
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Instagram – afroswagga
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…