Kila kitu siku hizi ni mitandao, hamna kusikia cha redioni, magazetini wala television sasa hivi habari tuna zipata moja kwa moja kutoka kwa wahusika well kinacho trend sasa hivi ni mimba ya mwanadada Beyonce, jana alitoa announcement hio kupitia mtandao wa Instagram, akapost picha yake akiwa anaonyesha tumbo lake na caption kwamba ana expect
with a caption “We would like to share our love and happiness. We have been blessed two times over. We are incredibly grateful that our family will be growing by two, and we thank you for your well wishes. – The Carters”
na kila mtu alikuwa ana mpost beyonce wengine wakisema ni twins kama hapo alivyo andika wame kuwa blessed two times over, come to think of it huu mwaka mastaa wana jifungua twins tu au? maana mke wa Pharell Williams kajifungua triples, Back to Bey ame vaa simple sana kwenye photo shoot yake, blazia ya rangi ya damu ya mzee yenye viaua vya pink, pant ya batiki yenye blue na weupe na kafunikwa na net ya kijani,
watu wameanza na ku geuess kwamba ni mtoto wa kike na wa kiume as kavaa blue na pink lakini what if kavaa hivyo kwa sababu bado hana uhakika na jinsia? mmh
na wengine wameamua kufanya Beyonce pregnancy announcement after party people are crazy like Thar lol, anywas hivyo ndivyo dada yetu Beyonce alivyo break the internet Major Congratulations to Beyonce na Jay Z na of course Ivy kwa kuwa dada kijacho (if only it makes sense lol)
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/lifestyle/the-internet-is-going-crazy-over-beyonces-pregnancy-announcement/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/lifestyle/the-internet-is-going-crazy-over-beyonces-pregnancy-announcement/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/lifestyle/the-internet-is-going-crazy-over-beyonces-pregnancy-announcement/ […]