Tunapenda kuwaona watu maarufu wakiwa wamependeza all glam up iwe for the gram au wanatoka kwenda sehemu, na week hii tumewaona wadada hawa watatu ambao tume fall in love na jinsi walivyo pakwa makeup zao #makeupgoals.
Video Vixen Irene au @officiallynn alikuwa all dolled up na makeup artist @rosekayuga tunaweza kusema Rose amemtendea haki Irene, makeup on point tume penda the yellow under eye shadow ime make a statement na kufanya makeup i-pop, pia choice ya lipstick wakati wengi wakitumia kavu wao wameamukua kutumia gloss lipstick which went well with her fuller lips.
Wema Sepetu yeye alikuwa face beated na makeup artist aitwae @irene_beautypoint tumependa the smokey cat eyes, it always looks good on her kuna kitu cha tofauti katika hii makeup ambacho kimemfanya Wema aonekane more calm kuliko tulivyo mzoea na pia ame debut new hair do.
Lulu Diva yeye alikuwa mikononi mwa makeup artist @queennuru_makeup , amempaka ombre eye shadow tumependa jinsi ambavyo amechanganya rangi na jinsi yellow ilivyo pop kwa mbele so nice.
ipi umeipenda zaidi kati ya hawa watatu?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…