Weekend ime fika una muda mwingi wa kufanya mengi ambayo ulikuwa ukitaka kufanya lakini ukashindwa kutokana na ratiba ime bana katika siku za kazi au shule, tumia wakati huu kuziba yale mapengo ambayo uliyaacha katika siku zako za kawaida,
Nenda Mbali – inawezekana siku za kawaida una kimbia sehemu ndogo jaribu kukimbia mbali zaidi au kufanya mazoezi mara mbili ya unavyo fanyaga siku za kawaida kwa sababu una muda wa kufanya hivyo.
Ziba Mapengo – inawezekana siku za kazi huwa una fanya mazoezi machache ili ku manage muda, weekend una muda mwingi wa kukaa idol jaribu kutumia muda huo kuziba mapengo ya yale mazoezi mengine ambayo ulishindwa kuyafanya katikati ya week.
Jaribu kufanya mazoezi mengine – panda milima, jaribu kufanya yoga fanya mazoezi ambayo huja wahi kufanya na jaribu kufanya mazoezi kwa kile kitu unacho hisi kinahitaji kipungue au kiongezeke mwilini mwako.
Jumuika na marafiki – siku za kawaida ni mara chache kupata kufanya mazoezi kwa pamoja, jaribuni ku jumuika kwa pamoja siku za weekend hii itasaidia kupeana motisha.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…