Imekuwa kawaida kwa nchi za Africa kuiga mitindo ya ulaya pasipo kujua sisi pia tunaweza kutengeneza vya kwetu kupitia matirio yetu kama kitenge,khanga au dakishi kuifanya mitindo yetu iwe ya kisasa zaidi. kuna mitindo ambayo imeingia kutoka ulaya kama suruali za kuchana, peplum blauzi ni vitu ambavyo hapa Africa pia tunaweza kufanya.
Wapo wabunifu wachache ambao wame diriki kufanya hivyo na ikaleta matokeo mazuri kama @bijoux_trendy au husna @hna.dresstoimpress, chachu ya kisasa na tamaduni ni chachu ambayo hakuna ambae ata kataa kwamba si nzuri.
sketi ya penseli na crop top ya kitenge ambayo ime ambatanishwa na mkoba wa channel na viatu vilivyo tengenezwa na kitenge chenyewe kutoka Bijoux ni mchanganyiko wa kiafrika na ulaya ambao hauchoki kuuona machoni mwako.
jumpsuit ya kitenge pamoja na viatu vya timberland vyote hivi kutoka bijoux trendy ambao wana fanya biashara zao nchini Tanzania na Noryaw
Husna Tandika mbunifu kutoka Tanzania nae ametuonyesha umahiri wake wa kuchanganya kitenge na nyenzo nyingine katika kazi zake zifuatazo
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo-ya-kiafrica/vya-nyumbani/ […]