Ukiachana na kuangalia washindi wa Tuzo jicho letu lilikuwa kwenye red carpet, nani amevaa nini na je alipendeza au lah?
The most anticipated award show Africa, Africa Magic Viewers Choice Awards ( AMVCA ) Ilifanyinyika jumamosi hii, na watu maarufu wengi walihudhuria wengi wao walipendeza sana na hawa ndio ambao wameingia katika list yetu ya watu kumi waliopendeza zaidi.
Nana Akua Addo, huyu ni muigizaji kutoka Ghana, Nana always yupo fashion forward and a true slayer. Katika event hii Nana alivaa gauni kutoka kwa mbunifu Gaurav Gupta ( India). Hii gauni ni art (Sanaa), design yake, rangi, fitting was just wow. tumependa kwamba hakutaka kuwa complicated na makeup na nywele, less accessories & nails zilipakwa rangi ambayo imetulia. She just ate this look and this is how you enter and exit.
Mercy Eke in Dona Matoshi gown, the gown itself ni statement tosha. Mercy ana petite body hii ball gown ilikuwa ni chaguo sahihi kwake, The volume ya dress ilikuwa perfect,style ya nywele imeendana na gauni, makeup on point, less accessories and again a perfect choice of nail polish.
Adesua Etomi in Matopeda dress, tumependa fitting ya hii dress. The fit is perfect it went well with her body, the hair & makeup was on point. Tunaweza kusema this whole look presents her personality, as we all know Adesua is calm, sexy & classy.
Sharon Ooja akiwa amevalia gauni kutoka kwa mbunifu SomobySomo, She went Rihanna on us, shinning bright like a diamond. Love every shade of gold on her. Tumependa coordination yaani kila kitu kimeendana ni extra lakini isiyoumiza.
Cynthia Nwadiora in sheyeoladejo green and black dress, she just outdid herself in this dress, how can you hate this? how? Perfection from head to toe.
Mercy Aigbe akiwa amevalia dress kutoka kwa ceolumineeofficia, unaweza kuona kazi ya stylist hapa, how ameweza ku-mix & match accessories na vilivyomo kwenye dress bila ku-bore.
Lilian Afegbai in 2207bytbally, kilichofanya hii dress iwe tofauti na nzuri ni hii see through inayoonyesha ngozi, the extra touch’s kwenye mabega na shingo carried this dress to a whole another level.
Stephanie Coker In 2207bytbally,
Dénola Grey in Mazelle Studio Futuristic suit, and this is how you make a statement Gentlemen’s, tumependa kwamba hajachagua kukaa inside the box, tumezoea kuona same thing kwa wanaume the tuxedo’s, suits same thing just different colors & materials. Well Denola & Mazelle did went hard on men side hapa. We are in love with this look.
Ebuka in ATAFO suit
Related posts
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…