We all love Fridays, sio kwa sababu tu ni mwanzo wa weekend na kupumzika lakini pia ni siku ambayo wengi wetu tuna kuwa na plan za kutoka usiku lakini swali huwa lina kuja it is Friday, nimesha pata pahala pa kwenda lakini natokaje? navaaje? hio ndiyo sababu kubwa afroswagga tupo hapa.
Friday date outfit ideas
The Jumpsuit, Jumpsuit huwa iko classic sana depends na style yake lakini ni vazi ambalo una weza kulivaa popote ukaonekana stylish & classic
Slit Skirt hii pia huwa ina noga ukiivaa kwenye date night pangilia tu rangi vizuri ongezea accessories na kiatu kizuri your good to go
Short skater skirt ina tegemea na ujuzi wako katika ku style pia lakini ukizi style vizuri ni chaguo jema pia
Jeans kama ni casual date then jeans ina wezekana kuvaliwa kama date outfit

Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/11960/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/11960/ […]