The Sean Wotherspoon’s Nike Air Max 1/97 kicks bado zina trend Duniani watu maarufu mbalimbali wanaonekana kuzivaa, tuliziandikia zinauzwa $160 sawa na Tzs 365,584,
List ya watu maarufu waliovaa viatu hivi imeongezeka ambapo fashionista Lavidoz nae ameingia katika list hii, tumemuona Lavidoz akiwa ame-style viatu hivi mara mbili ambapo mara ya kwanza alivaa hivi viatu na well fitted jeans na graphic white tee amemalizia muonekano wake na sun glasses na brown small handbag.
Mara ya pili Lavidoz was in beach vibes, amevaa viatu hivi na high waist pants, white vest na kimono cha kijani, amemaliza muonekano wake na kikapu bag, big hoop earrings na miwani ( she is a beach vibes goal)
Lakini pia tulim-spot mwanamuziki Vanessa Mdee akiwa amevaa viatu hivi wakati yupo London akiwa katika One Africa Music Fest ambapo alivaa viatu hivi na raw hem denim trouser, black top yenye denim kidogo na trending small sunglasses ( she looked stylish)
Mara ya pili alivaa na all black outfit hapa alikuwa China.
tuambie nani amekuvutia na style zake kati ya Vanessa Na Lavidoz?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2-times-vanessa-and-lavidoz-styled-the-sean-wotherspoons-nike-air-max-1-97/ […]