Mwaka una isha, so tumeona tuwaletee baadhi ya vitu vizuri ama vibaya ambavyo vime tokea mwaka huu kabla ya mwaka kuisha. Leo tuna round up na hair style mbaya ambazo baadhi ya watu maarufu wali debut mwaka huu, haziko kimpangilio una weza kuchagua yako ipi ndio ya kwanza kwa kuwa hair style mbaya zaidi
Nisha na hii wig ya rasta ambayo alikuwa ana tangaza biashara kwamba atakuwa ana ziuza, ni nani atanunua the wig kwa kutangazwa hivi? hata haija valiwa vizuri na kuficha kwamba ni wig?
Gigy money na hii wig, hatujui kama alie mvalisha hii kofia alikuwa mwana funzi au vipi sababu make up yake ipo on point lakini wig haija valiwa vizuri pia una weza kuona masikioni vya ndani vinaonekana na hizo mbele ni baby hair?
Petit Man wa kuache a.k.a toto ya madame Wema Sepetu hakutaka kupitwa na bantu knots style akaamua kuweka rasta zake ziwe kama bantu knots, tuna penda the idea ya kuwa tofauti ila hapa haikufanya kazi NO
Jacqueline Wolper na hio blonde wig yake ili leta balaa mpaka mwenyewe akaamua kujibishana na mashabiki wake, kwetu mpaka mashabiki wakisema jua wanajua you can do better kwaio to us pia hii hair style haikua sawa kwa Jacqueline labda alivaa vibaya wig au alie mtengeneza alikuwa na haraka
Banana Zorro ali debut hii hair style ni wapi aliitoa hatujui ila ame thibitisha kwamba go rasta au go bald you cant do both
Jike Shupa ana hitaji hair stylist
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…