2016 ime tupa trends mbali mbali ila kuna zile ambazo zili wabamba wengi, kama hii ya faux locks braids ambazo watu wengi walionekana kuvutiwa nazo na kusuka. We have to say linapo kuja swala la hair styles na ikiwa ni rasta basi we have to expect anything ina weza kuvuta 2017 au ikabaki 2016 ina tegemea na mapenzi ya watu japo si mbaya ikavuka, Faux locks una weza kufanya style yoyote na wala hazichoshi lakini pia jinsi zinavyo endelea kukaa kichwani ndivyo zinavyo zini kupendeza na kutoa ile natural look kama ni rasta zako kabisa. Tuone walio rock hii trend mwaka huu
Tanzania walikuwepo wengi mno lakini hawa ni wachache tulio wachagua
Jokate Mwegelo, model, mjasiriamali na muimbaji muziki ali rock faux locks lakini za kwake aliweka mawimbi (curly s)
Aliye kuwa miss Tanzania 2006, Mjasiriamali na Muigizaji Wema Sepetu
Rihanna, mwanamuziki na muigizaji nae ali debut hii hairstyle zake zilikuwa ndefu sana na kuna movie ataonekana akiwa na hii hair style inaitwa ocean 8
jhene- aiko mwanamuziki nae hakupitwa yeye alisukia blonde faux braids
Ciara nae hakuwa nyuma alikuwa more creative kwa kuchanganya rangi mbali mbali, zimeonekana kama dreads zake mwenyewe
tasha-smith nae alichanganya rangi kidogo
mwanamitindo Tyra Banks nae hakupitwa
Je ungependa hii style ipite au tuinigie nayo 2017? tuambie kupitia
Facebook – afroswaggamag
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…