SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

2018 Ni Mwaka Wa Nuru The Light
Mitindo

2018 Ni Mwaka Wa Nuru The Light 

Mwaka jana tuliandika kuhusu mwanadada huyu aliye potea kwa muda mrefu katika game ya muziki, lakini alikuwa anafanya kazi zake binafsi na pia blogging, well seems like kilio chetu alikisikia na akakifanyia kazi Nuru Magram a.k.a Nuru the light amerudi tena kwenye game na wimbo wake mpya unaitwa “umeniacha” well well well what a better way to start a year.

Well tume fanya mahojiano nae kujua tutegemee nini? anaongeleaje ulimwengu wa fashion kama blogger na haya ndiyo yalikuwa majibu yake.

Afroswagga: Tunaona umerudi kwenye muziki, tuambie ni vipi unaweza ku-manage blogging, kazi yako, fashion na muziki?
Nuru: Discipline and time planning bila hivyo hamna kitakachoenda.Kingine hivyo vyotr ni passion yangu so i enjoy doing all of it.

Afroswagga: Tunategeme video ya umeniacha kuwa fashionable video je umesha jipanga utavaaje? je utajistyle mwenyewe?
Nuru: The video is on youtube go and support.Idea nyuma ya mavazi ilianza na concept kutoka kwa the director so from there nikaanza kuplan the looks for each set na uzuri pia niliweza kupata au kufanya kazi na a stylist called Irfan Rizwanali.

Afroswagga: Huwa una pendeza sana una stylist au una ji-style mwenyewe? kama una jistyle wewe umesha wahi kufikiria kuwa stylist siku moja?
Nuru : .Yes looks zangu for the blog always najistyle mwenyewe na at shoots its hard at times with the small details so huwa napanga mavazi na kila kitu a day before the shoot,Ningependa sana kumstyle mtu na kuwa a stylist ni kazi ninaiheshim sana wale watu wanafanya sana kazi ili clents zao wapendeze na kumpendezesha mtu sio kazi ndogo

Aforswagga : nani ni best stylist wako hapa Tanzania?
Nuru: Kwa bongo bado sina kwani wengi huigana bado hakuna a risk taker..,

Afroswaga: As a fashion lover ni kitu gani unadhani watu wetu maarufu wana lack katika mitindo?
Nuru: Kujua miili yao na kuvaa kufuatana na miili yao,kingine hakuna individuality only Wolper na Lulu kidogo sio waoga wa kubadilisha muonekano wao mara kwa mara.Kuigana ni kwingi plus lack of stylists nchini na hata wakienda na fashion huiga but hawaput their personality in it.

Afroswagga: Tuambie your the must have’s beauty product & clothes

Nuru: A black dress,a black blazer and black trousers is a must.A pair of jeans,a white tee and a denim oversize shirt.FLare pants and I own so many kimonos.Napenda sana maxi dresses na scarf. Beauty products ni black soap,Nivea na Vaseline for my body na usoni ni black soap,Vichy na Kalamazoo from Lush

Afroswagga: Ni designer gani una mpenda hapa Tanzania? na je katika collection yako ya mavazi una pieces kutoka kwa wabunifu wetu?
Nuru: Naowaona kwa SASA kuwa wana potential ni Kyamirwa na Elisha red label but waskilize wateja na kuboresha ubunifu wao.
Afroswagga: Trend zipi hutokuja kuzivaa?, Tuambie trend 3 ambazo unafikiri ziendelee 2018 na 3 za kuziacha.

Nuru: I CALL THEM PORN SHORTS ambayo matako yanaonekana thats  BIG NO.

1.Porn shorts 2.oversize jeans pants 3.crop tops hizi tuache 2018       1.the pyjama trend  2.mules  3.Neutral colours   zibaki
Afroswagga: Your all time favorite piece of a accessory
Nuru: earring

Afroswagga: Tips za mavazi ya red carpet kwa watu maarufu wetu? maana huwa wana haribu wakati mwignine.
Nuru: Haha nahisi nimeongelea sana hili kwa blog yangu cha maingi kuanze kuwa na dresscode bila hivyo wataendelea tu kuharibu yaani nchi yetu wako sso bad in dress code sasa hii pia inawapa tabu wahudhuriaji.Sio kila wakti kuvaa migauni as if wanaenda harusini sometimes less works even betta.
 Afroswagga: nini tutegemee kutoka kwako?
Nuru: More music,Blogging with a purpose na more fashion.
Afroswagga:  chochote ungependa kuwaambia wa Tanzania
Nuru: Waheshim na kuelewa kuwa industry ya fashion inawahitaji wanunuaji na support.Ubunifu sio kazi rahisi so waiheshim.

Related posts

7 Comments

  1. ufabet

    … [Trackback]

    […] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

  2. wapjig.com

    … [Trackback]

    […] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

  3. window repair

    … [Trackback]

    […] There you can find 54255 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

  4. all slot auto wallet

    … [Trackback]

    […] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

  5. magic mushroom online india

    … [Trackback]

    […] There you will find 54671 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

  6. sites

    … [Trackback]

    […] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

  7. ufabtb

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2018-ni-mwaka-wa-nuru-the-light/ […]

Comments are closed.