Tayari tumeshaanza kuipenda 2022, tukiwa ndio kwanza kwenye siku ya nne ya mwaka tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia mavazi yaliyotuvutia. kitu kikubwa zaidi tulichopenda kwenye mavazi haya ni kwamba yameshonwa hapahapa Tanzania na wabunifu wetu, hii inaonyesha tunavyoendelea tutaona mengi zaidi na wataendelea kukua zaidi.
Zamani tulikuwa tumezoea kuona wabunifu wakiwa na aina moja ya ubunifu huku wakiwa wanabadilisha rangi tu, kwasasa tunaona tunajaribu kutoka nje ya comfort zone yetu tunaona tunaanza kuweka touch’s zetu wenyewe na ku-keep up na trends za wenzetu.
Tumemuona Doris a.k.a ms_ris_eddy akiwa amevalia see through pearled dress kutoka kwa mbunifu shuu design na tunaweza kusema Shuu took her time to make this dress tunajua kwamba hizi pearls ameziweka yeye kwenye hii nguo na sio kwamba fabric ilikuja hivi, kudos kwake.
Lakini pia mwanadada Fahyvanny yeye akiwa amevalishwa na allie clothings, tulichopenda kwenye hii look kutoka kwake ni extra touch’s the head gear, that veil lakini pia hizi gold nails kwenye gloves zake (though tumesema gloves zibaki 2021 ila hii yake ni ya kipekee), tumechoka na nguva yes but the extra touch’s made this look different.
Miss Tanzania Juliana Rumugisa akiwa amevalishwa na Rackel Stylish ukiangalia kwa sasa closet dress ndizo zinazotrend tumependa namna ambavyo wameonganisha trend mbili kwa pamoja lakini bila kuonekana too much.
well let us know your thoughts on the looks.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2022-started-on-the-right-fashion-foot/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/2022-started-on-the-right-fashion-foot/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 46483 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/2022-started-on-the-right-fashion-foot/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 66037 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2022-started-on-the-right-fashion-foot/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 39292 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/2022-started-on-the-right-fashion-foot/ […]