Muigizaji Wema Sepetu na fashionista sishkikii wameonekana week hii wakiwa wamevalia suit, na sio tu suit ila ni sexy suit.
Unaweza ukajiuliza sexy suit ni nini, tumesha zoea kuona power suit. Zile suit ambazo zinavaliwa official kwa ajili ya official kwendea kazini au katika business meetings. Lakini kwa Wema Sepetu na sishkikii wao wametumia suit hizi kuwa sexy outfits na tumependa tulichokiona.
Wema alivaa red suit ambapo ilikuwa ni wide leg trouser akamalizia na cop top kwa juu ambayo ni kama coat ya suit au tuseme hii suit ilikuwa ni crop top coat na wide leg trouser suit. Alichagua kuwa minimum na accessories na akamalizia muonekano wake na bun hairstyle huku akiwa na bold red lips katika makeup yake. We love this look on her
Fashionista Sishkikii yeye aliamua kuthubutu kidogo kwa maana sio wote ambao wanaweza ku-pull off huu muonekano. Alivaa dark blue over sized suit, ambapo alivalia na sexy brallette akamalizia muonekano wake na kicks nyeupe. Huku yeye akiamua kuwa minimum kwenye accessories na makeup, amemalizia muonekano wake na short hair.
Well afromates ni matumaini yetu mmejifunza namna nyingine ambazo mnaweza kuvaa suit zenu.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/23359/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/23359/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/23359/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/23359/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/23359/ […]