Tuzo za “The Oscars” ni Tuzo hutolewa kwa artistic na technical merit waliopo katika tasnia ya filamu, Watu maarufu mbalimbali ambao wapo kwenye Tasnia hii hualikwa na kuhudhuria hafla hii ya ugawaji Tuzo, well kwa mwaka huu imefanyika usiku wa kuamkia leo na tupo hapa kukupa all the looks tulizoziona kwenye Tuzo hizo
Muigizaji Angela Bassett alivalia purple dress kutoka kwa Moschino, mwanamuziki Rihanna alishow baby bump akiwa amevalia black leather dress kutoka kwa mbunifu Alaia na Janelle Monae alivaa custom dress kutoka kwa mbunifu Vera Wang

Kutoka Africa tuliwakilishwa na mwanamuziki Tems kutoka Nigeria ambae alivalia gown kutoka kwa mbunifu lever couture, Alikuwepo pia muigiza Halle Berry wore Tamara Ralph dress na Sofia Carson alivaa gauni kutoka kwa Giambattista Valli na kuwa styled by @nicolasbrustyle.

Wengine walio hudhuria Tuzo hizi ni pamoja na muigiziaji/mwanamuzili Lady Gaga alievalia Vercase dress, Fan BingBing alivalia gauni kutoka kwa Tony Ward na model Ashley Ghraham alievalia vazi kutoka kwa mbunifu Alberta Ferretti

Halle Bailey wore custom Dolce And Gabbana, Cara Delevingne In Elie Saab Couture dress na Danai Gurira wore a Jason Wu gown

Kwa wanaume tuliwaona Donald Glover wore Alexander McQueen cut out suit, Michael B Jordan in Louis Vuitton na Lenny Kravitz wore Saint Laurent

Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…