una baadhi ya vitu vinatokea kwa kujua na kutokujua unamkuta mtu kanunua nguo expensive lakini ni fake sio tatizo lake hilo kwa sababu alikuwa hajui. Leo tunakuletea tips zaidi ya kujua umevaa fake clothes au lah.
Zipo njia nyingi sana za kujua kwanza anza na hizi tips
1. Jua majina ya brands za nguo
Katika kitu muhimu cha kwanza unachotakiwa kufanya ni kujua majina ya brands za nguo kwa sababu kila brands ina jina lake kwa mfano unataka nguo aina ya gucci then unaenda dukani unakuta nguo imeandikwa gucck then unanunua hapo utakuwa umenunua nguo fake. Jitahidi sana kujua kila herufi ya hiyo brands husika ambayo unataka kwenda kununua kwa sababu watu wanaotengeneza nguo fake wanabadilishaga kitu kidogo sana unaweza ukakuta pattern na kila kitu kipo sawa kasoro jina tu.
2. Zingatia aina ya kitambaa
Katika kitu ambacho hawawezi kuwa the same na real brands basi ni kwenye aina ya kitambaa mara nyingi sana fake clothes zinakuwa na kitambaa tofauti sana na nguo original kwa hiyo kila ukienda kununua jitaidi sana kujua aina ya fabric ni sawa na original.
3. Zingatia logo
Unaweza usiamin sana ila logo za brands huwa wanazitofautisha sana ndo yale mambo ya kumkuta jordan kashika mic. Ukiweza kuzingatia logo basi utaweza kusave pesa yako na utakuwa umenunua nguo ambayo ipo katika kila kiwango na utaipenda kuivaa mda wote kwa sababu unajua umevaa nguo original.

4. Zingatia bei
Mara nyingi walimwengu husema vitu vizuri haviji kwa bei rahisi so kitu cha msingi zingatia bei. Tunaposema zingatia bei ni kwamba hauwezi pata gucci au levis kwa 1500 tshs. Ukiweza kujua real price basi itakuondolea kununua kitu ambacho hautokuja kuvaa kulingana na quality ya hiyo nguo.
5. Fanya utafiti
Unaweza ukadhani ni kitu kidogo sana lakini ukifanya utafiti basi itakuwa umenunua kitu kwa kupenda mwenyewe hata kama ni fake. Ukiwa na uwezo wa kujua bei na aina ya fabric utakuwa umejiondoa kwenye kununua nguo fake na utaoneka mjanja sana.
Note: tunajua mnapenda kuvaa brands ila zingatieni kuvaa vitu original kwa sababu inakuondoa kwenye kufanywa memes mitandaoni. Unaweza kutuambia ni nguo gani fake ulishawai kununua.
Imeandikwa na Gotchathegreatest
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
[…] clindamicina en crema[…]
clindamicina en crema