Moja ya trend kubwa sasa hivi ni Clear See Through Items, iwe coat, handbags, shoes etc, lakini ambacho ni kikubwa zaidi ni viatu. Watu wengi wameonekana kuvalia hivi viatu ambavyo muundo wake ni plastic vinaonyesha mguu tofauti na viatu ambavyo tumezoea kama ni gozi au plastic lakini vinakuwa na rangi ambayo ina cover mguu usionekane. Wakati trend inaanza tuliwaona watu maarufu wengi wakiwa wamevaa wakiwepo The Kardashian’s kwa mara ya kwanza hatukuielewa lakini kwa sasa tunaweza kusema inabidi umiliki pair hata moja ya viatu hivi katika kabati lako, iwe pumps, sandals, etc kwa sababu hizi tatu.
- PVC Shoes Are The New Nudes
PVC shoes ni kama viatu vya nude hivi vinavalika na kila nguo utakayo itaka, sio lazima rangi iwepo katika vazi lako. Tunaweza kusema ni back up plan nzuri kama una vazi lako na hujui uvalie viatu vya rangi gani PVC Shoes got your back every time
- PVC Shoe’s vinakupa muonekano safi
Moja ya kitu ambacho kinaweza kukuvutia katika hii trend ni jinsi ambavyo viatu hivi vinakupa a clean look, ukiachana na kuvaa viatu ambavyo vina match vazi lako au kuweka statement katika vazi lako hivi viatu husaidia kupolish vazi lako na kuonekana more clean & presentable, kama ukiwa na clean nails na mguu uliosafishwa vizuri basi unaweza ku catch people’s eyes on your legs.
- Vinaweza kuvaliwa na kila vazi
Iwe unatoka casual, unaenda ku’have fun au uwe unataka kuvaa vazi classy hivi viatu vinaweza kukaa kila sehemu, ambacho tunaweza kukusahuri ni kununua pumps au strap sandals za aina hii zinaweza kukusaidia sana katika mavazi yako.
Note: si vizuri sana kutembelea juani vinaunguza lakini pia vinaonyesha jasho la miguu.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…