Mustard Color bado ipo kwenye chat ni vile rangi hii imetulia na ina faa kuvaliwa na binadamu wa rangi yoyote, hivi ndivyo Fashion Blogger na Fashionista kutoka Tanzania, Lavidoz alivyo ivaa na kustyle rangi hii
Mara ya kwanza alivaa hii rangi kama Long Blazer ambapo ndani yake alivalia na Vest nyeupe. Skin Jeans ya blue, Brown mkanda ambao alimatch na mkoba pamoja na leopard print heels
Mara ya pili ali vaa kama Kimono kirefu pia na vest nyeupe, skin jeans mcharuko ya blue na nude heels.
Mara ya Tatu amevaa rangi hii katika kimono kimoja (unacho kiona juu) lakini mara hii alivaa kimono hiki kama gauni pia alivaa na nude heels alicho badilisha ni kuvua suruali na vest na kubana nywele muonekano huu una weza kuonakano nao wakati wowote usiku na mchana
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…