Tulisha wahi kusema hii ndio stylish couple kutoka Tanzania, iwe wawe wametoka pamoja au kila mtu na wakati wake wanajitahidi sana katika swala zima la mavazi, well sote tunajua couples zinapenda kuvaliana, wengi huwa wanaibiana mavazi na kuvaliana lakini kwa Juma Jux na Vanessa wao wameonekana kuibiana accessories.
Jux alikuwa spotted amevaa hizi Chanel Paris sunglasses ambazo alizistyle na white t-shirt na suruali nyeusi akamalizia na colorful kicks na his usual jewelry
Lakini tulimuona Vanessa nae akiwa amevaa miwani hiohio ambapo yeye aliistyle na vest nyeupe yenye wekundu na nyeusi, colorful jacket na akamalizia na short denim hot pant.
Tukaja kumuona tena Vanessa na hizi matrix sun glasses zenye nyeupe na nyeusi ame zistyle na t-shirt nyeupe yenye maandishi mekundu na denim coat amemalizia na layered necklace
Tukaja kumuona Jux nae akiwa amezivaa nyeusi zake na white tee na blue denim trouser.
Lakini pia tuwaona wakiwa wamevaa hii beret hat
Juma
Vanessa
Tuambie je wewe ni mpenzi wa kuiba mavazi ya mpenzio? na huwa unaiba nini?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-times-juma-jux-vanessa-mdee-stole-each-other-style/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-times-juma-jux-vanessa-mdee-stole-each-other-style/ […]