Jocelyne Maro ni mwanamitindo kutoka Tanzania lakini pia ni mama, well Jocelyne ni moja kati ya wale wadada ambao tunasema ukiwaalika katika harusi yako inabidi ujibebe, she ain’t playing linapokuja swala la kupendeza akiwa katika mitoko kama harusi, leo tuna crush na wedding styles zake na hizi ndizo tulizo zipenda
This blue number is just breath taking, tumependa makeup, hair do mara nyingi huwa tunasema ukivaa mavazi haya akikisha the face & neck vinaonekana seems like Jocelyne real know whats popin,tumependa accessories pia.
Amen to this gray dress, the dress ni statement so she went less on her makeup, tunatamani picha ingeonekana vizuri the colors and details nyingine tukaziona vizuri lakini what we are sure of is alipendeza and this dress is just wow.
Shimy Shimy Jocelyne akiwa amevalia purple & cream dress tunaweza kusema anapenda hii mishono ambayo shoulders za gauni na gauni lenyewe vinakuwa vinaonaongea zaidi na kuwa less usoni na nywele which works well for her, tunaweza kusema she knows her body & what works for her well.
Well tuambie wewe mshono upi umekuvutia zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…