Kama kuna mavazi rahisi ku-style mavazi ya meusi na meupe kazini, lakini wengi tunayaepuka sasa hivi kutokana na kuwa ni work uniform ya ofisi nyingi sana na sote tunajua namna gani wa fanya kazi wanachukia sare za ofisi. Lakini pia tulisha wahi kusikia Lady Gaga ali-mistake Ed Sheeran na bar tender kutokana na mavazi yake ( you wouldn’t want to go through this embarassment)
Leo tunakuletea Tips tatu za namna gani unaweza kuvaa black & white ofisini na usionekane kama umevaa sare.
- Mix patterns
Ofisi nyingi wanavaa sare za ofisi ambazo ni black & white, kama ungependa kuvaa rangi nyeupe na nyeusi ofisini na hupendi uonekane kama umevaa sare basi unachotakiwa kufanya ni kuchanganya prints, unaweza kuvaa plain skirt na polka dots au stripes shirt na vise versa
- Add A Pop Of Color
- COLORFUL SUIT OUTFIT IDEAS
Ongezea rangi katika outfit yako, kama ungependa kubeba pochi ya rangi nyingine, viatu au blazer ya rangi nyingine hakikisha rangi ina pop au kufanya muonekano wako uonekane wa tofauti kidogo sio plain black & white.
- Don’t make it look too obvious
jaribu kuwa minimum na mavazi yako ya black & white hakikisha mtu ha-notice kirahisi kama ulitaka kuvaa black and white outfit
Unaweza kuongezea vionjo vyako kwa ku-accessorize muonekano wako kwa accessory mbalimbali na kufanya usionekane kama umevaa black & white plain outfit hii itanyanyua muonekano wako zaidi, hata kama ndio work uniform outfit yenu itakufanya u-stand out.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-tips-on-how-to-wear-black-and-white-to-work/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-tips-on-how-to-wear-black-and-white-to-work/ […]