Umetoka zako out weekend umechoka unaamka asubuhi hujui uvae nini unapoteza muda kutafuta nguo matokeo yake wewe ni mchelewaji sugu kazini kila siku upo kwenye chumba cha HR kusemwa kuhusu uchelewaji wako lakini je wajua hili linaweza kubadilika na ukawa unatoka vizuri bila ya kuwa na stress ya kuchelewa kazini
•Andaa Mavazi Yako Mapema
Kinacho chelewesha zaidi asubuhi ni kujua uvae nini na kipo wapi, hakikisha kabla hujatoka kwenda kwenye mitoko yako ya weekend umepanga mapema utavaa nini siku gani kama ikiwezekana nyoosha mavazi yako kabisa ili upate muda wa kupumzika mrefu pia

•Chagua viatu pamoja na accessories utakavyo valia mavazi yako mapema

hii inasaidia sana kwenye ku save muda wa kuanza kutafuta ni kiatu gani uvalie kama kichafu au kisafi, hakikisha unajipanga mapema na kama vichafu unasafisha
•Kuwa na blazer tofauti tofauti
Blazer huwa zinasaidia sana mfano una haraka na hujui cha kuvaa unaweza kutupia suruali yako na blazer au gauni na blazer ukapendeza na kwenda ofisini
Bonus Tip: Hakikisha nywele na kucha zako zipo vizuri
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…