Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumekutana na hii style ambayo tumeona ina trend kwa sasa na hii ni suit ya vikaptula. Suit ambazo zimezoeleka ni zile za skirt na suruali ndefu, japo suit za kaptula zipo miaka na miaka lakini ni mara chache kuonekana zimevaliwa yaani trend yake ni yakuja na kuondoka.
Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumekutana na watu maarufu watatu ambao wamevalia suit hizi za vikaptula na wakatupa namna 3 za kustyle suit hizi kama ni mpenzi wa suit na usingependa kuvaa zile ambazo zimeozoleka sana basi hii style itakufaa zaidi.
Tumemuona Salama akiwa amevalia suit hii ikiwa na rangi ya cream kwake yeye alivalia casual kidogo akiwa na tshirt ndani ya suit, raba, socks akamalizia muonekano wake na saa na miwani.
Lakini pia msanii Maua sama na yeye alionekana akiwa amevalia suit hii ya rangi cream pia, yeye alikuwa kwenye chic look amevalia suit hii na pumps nyeupe amemalizia muonekano wake kwa kubeba small bag nyeusi na chandelier earrings na bracelets.
Huku stylist Macrida Joseph yeye alivalia suit hii in sexy style ambapo alivalia na scarf crop top yenye rangi nyekundu akamalizia na red bottega wrap tie mesh pumps na mini bag perfect for a night out.
we love all the looks inategemea unaenda wapi na wakati gani lakini ni piece ambayo unaweza ku-style mara nyingi uwezavyo kama ambavyo tumeona hapo juu, well let us know style ipi imekuvutia zaidi?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 29805 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 96119 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/3-ways-to-style-short-part-suit/ […]