Watu wenye miili mikubwa wana pata shida zaidi katika mavazi hasa katika kipindi hiki cha Ramadhani, mabaibui na madira ndio vazi kubwa kwa watu hawa. Hasa kwa sababu wabunifu wetu nao wamewasahau lakini leo tutawapa tips ambazo zinaweza kuwasaidia katika mavazi na kupata muonekano wa kisasa.
Penda kila kitu kuhusu wewe (jipende), kujipenda ndio kitu ambacho kina weza kukufanya uweze kujua nini kina kaa vizuri katika mwili wako na kipi hakifai.
Mtu yoyote mwenye umbo kubwa anaweza kuvaa nguo yoyote anayo ipenda kama tu ataipa muonekano wa kuvutia zaidi na atapendeza zaidi, ukubwa wa umbo hauzuii kupendeza.
Je kipi kina faa kuvaliwa na mwanamke mwenye umbo mkubwa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani na kipi hakifai
Je kipi kinafaa kuvaliwa na mwanamke mwenye umbo kubwa katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani na kipi hakifai.
suruali za kubana mpaka chini si chaguo sahihi kwa maana zinaonyesha umbo la miguu yako na haito onekana vizuri katika macho ya wengine
bali chagua suruali pana za lineni au suruali zenye miguu mipana zina faa zina faa zaidi kuvalia na hijab
Usivae nguo zenye mkanda katikati zita onyesha ukubwa wa tumbo na matiti inakupa muonekano mkubwa zaidi.Badala yake chagua maxi gauini au sketi hizi zina faa kwa mwenye mwili mkubwa au hata mdogo hazichagui
mwisho usivae hijab iliyo shonwa kabisa
bali tafuta hijab ambazo unaweza kufunga mwenyewe na kubadilisha staili
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/358/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/358/ […]