SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

4 Things Guests Should Never Wear To A Wedding
Mitindo

4 Things Guests Should Never Wear To A Wedding 

Ikiwa kwasasa wedding guest wanakwambia ukialikwa alikika na ukialika jiandae kwa maana kwamba kama mgeni umealikwa hakikisha una alikika kwa kupendeza vyema kabisa na kama wewe ndio umealika waje kwenye harusi yako hakikisha umejiandaa vilivyo ukilegea tu waalikwa wanapendeza zaidi kuliko mwenye sherehe, leo tumeona tuwaletee ukumbusho wa nini kinafaa kuvaliwa na nini hakifai kuvaliwa kama wedding guest,

  • Usivae rangi nyeupe,cream au off white

Kama ambavyo tunajua hizi ni rangi ambazo maharusi wengi wanazitumia siku za harusi yao, inafaa kumuacha mwenye harusi a-shine huku sisi wengine tukivaa rangi nyingine ili kuweka utofauti na kuto kum-outshine muhusika, lakini kama ni theme ya harusi then ni ruhusa kuvaa.

  • Usivae mavazi yanayo onyesha maungo sana

Hakikisha vazi lako ni la kistaarabu usiachie maungo kupitiliza, uzivae vazi fupi sana, usivae vazi linaloonyesha sana kifua kupitiliza, Usivae vazi linalobana maungo kupitiliza hii itafanya watu wakuangalie wewe na kupoteza attention kwa muhusika lakini pia ni mkusanyiko wa watu mbalimbali kila mmoja wetu ana imani zake usiwe kero kwa wengine.

  • Usivae rangi / prints zinazo shout

Hii pia inasababisha attention iwe kwako na inawezekana ukawa out of theme na wengine hakikisha unavaa rangi nzuri calm zenye kuvutia unaweza kuvaa prints au rangi inayo shout endapo tu ndio theme ya sherehe.

  • Usivae too casual

Kwa wale tunapenda kuwa kawaida tu unaweza kwenda kwenye harusi hata na jeans tuache kwa maana ile ni siku muhimu kwa maharusi unaweza kuvaa hivi kama maharusi wamesema uvae lakini kama hujaambiwa ichukulie uzito kidogo na uvae mavazi yenye kuendana na sherehe.

Related posts