Leo ndio ile siku tulikuwa tunaisubiri kwa hamu watu wa fashio, maana hizi event zetu ni chache mno ikitokea moja tunaisubiri kwa hamu, well theme ya hii event ni red & white.
Tukiongelea theme ni kwamba unatakiwa uvae vazi lako ndani yake kukiwa na a touch ya red au white, sio lazima kuvaa full red au full white au lazima uvae red na white outfit hapana unaweza kuvaa black na white utakua umeenda na theme kwa kuvaa nyeupe, una weza kuvaa nguo za rangi nyingine ukaongezea na kuongezea accessories, jewerly au clutch za rangi nyekundu.
Hizi ndio outfit 4 za haraka tulizo kuandalia unaweza kuiga au kupata idea ya vipi unatakiwa kutokelezea
Its a fashion show na sio award event so unaweza kuvaa classy, sexy casual etc.
Hapa tumekupa idea ya jinsi unaweza kuvaa wide leg yako ya kazini to a event, vaa a brallete ambayo imefunikwa sehemu ya maziwa, wide leg ya rangi uiependayo lakini kumbuka rangi zinazo takiwa, clutch na open heels. quick & fashionable right?
Blazer & sequin trouser, well well well isn’t this a turn head? unaweza chagua suruali nyekundu na blazer ya nude any color as long as uneandana na theme, ukavaa na hereni na mules,a quickie yet classy.
Plaid blazer zina trend kwa sasa unaweza kuvaa a tuxed plaid dress na red boots au heels na kua-accessorize upendavyo.
Short pants na brallete
matumaini yetu umepata idea ya nini uvae thanks us later.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-quick-outfit-ideas-to-wear-at-lady-in-red-fashion-show/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 79077 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-quick-outfit-ideas-to-wear-at-lady-in-red-fashion-show/ […]